Serikali yatangaza kuzifuta meli mbili za Tanzania zilizokamatwa zikisafirisha silaha na madawa ya kulevya
Serikali yatangaza kuzifuta meli mbili za Tanzania zilizokamatwa zikisafirisha silaha na madawa ya kulevya
Serikali imetangaza kuzifuta meli mbili za Tanzania zilizokamatwa zikisafirisha dawa za kulevya na silaha, Makamu wa Rais, Samia Suluhu amesema.
Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu amesema Tanzania haihusiki na meli zilizokamatwa zimebeba shehena ya silaha na dawa za kulevya zikipeperusha bendera ya Tanzania hivi karibuni japo ni kweli zilisajiliwa nchini kupitia Taasisi ya Mamlaka ya usafiri baharini Zanzibar.
~ Mwananchi
=======
Kupitia JamiiForums ziliripotiwa taarifa hizi kuhusu kukamatwa kwa Meli hizo huko Ugiriki na Jamhuri ya Dominican(Santo Domingo)
1- Meli yenye bendera ya Tanzania yakamatwa ikiwa na Dawa za Kulevya tani 1.6
2- Meli inayopeperusha bendera ya Tanzania yakamatwa Ugiriki ikiwa na Silaha, Vifaa vya Milipuko
Makamu wa Rais Mh Samia Suluhu amesema Tanzania haihusiki na meli zilizokamatwa zimebeba shehena ya silaha na dawa za kulevya zikipeperusha bendera ya Tanzania hivi karibuni japo ni kweli zilisajiliwa nchini kupitia Taasisi ya Mamlaka ya usafiri baharini Zanzibar.
~ Mwananchi
=======
Kupitia JamiiForums ziliripotiwa taarifa hizi kuhusu kukamatwa kwa Meli hizo huko Ugiriki na Jamhuri ya Dominican(Santo Domingo)
1- Meli yenye bendera ya Tanzania yakamatwa ikiwa na Dawa za Kulevya tani 1.6
2- Meli inayopeperusha bendera ya Tanzania yakamatwa Ugiriki ikiwa na Silaha, Vifaa vya Milipuko
No comments:
Post a Comment