Mkosoaji wa Kagame afunguliwa mashtaka ya kuchochea uasi
Mkosoaji wa Kagame afunguliwa mashtaka ya kuchochea uasi
Ameshtakiwa pamoja na mama yake Adeline Rwigara na dada yake Anne Rwigara.
Diane Rwigara aluzuiwa kuwania urais wa mwezi Agosti nchini Rwanda.
Rais wa sasa Paul Kahame alishinda uchaguzi huo kwa asilimia 99, na kupelekea madai kuwa kuikuwa na udanganyifu madai yalipingwa na mamlaka ya nchi hiyo.
- Kiongozi wa upinzani nchini Rwanda akamatwa Kigali
- Polisi wamkamata mwanamke aliyetaka kuwania urais Rwanda
Wachunguzi wanadai kuwa Bi Rwigara alivunja sheria za uchaguzi kwa kukusanya sahihi bandia kuunga mkono ugombeaji wake.
Haijulikani ni kitu gani kilichangia afunguliwe mashtaka ya kuchochea uasi.
No comments:
Post a Comment