Mpango wa CHADEMA utakaowainua Wanawake kiuchumi, stori kubwa 25
Mpango wa CHADEMA utakaowainua Wanawake kiuchumi, stori kubwa 25
August 2, 2017 millardayo.com imekukusanyia uchambuzi wa Magazeti kutoka kwenye twitter @millardayo ikiwa ni uchambuzi wa Habari zote kubwa kupitia Magazeti yaliyoandikwa leo Tanzania ambapo hizi ni baadhi ya Habari kubwa zilizoandikwa leo.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA kimeanzisha mpango maalumu wenye lengo la kutoa mafunzo yanayolenga kuwainua wanawake kiuchumi na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kwa kushirikiana na Asasi ya kiraia ya United Against Crime imezindua Namba mpya 114 kupiga wakati wa majanga.
No comments:
Post a Comment