[TRENDING][10]

CENTER OF ICT
ENTERTAINMENT
GOSSIP
NEWZ
SPORTS
VIDEOS

Kwa Picha: Picha bora Afrika wiki hii 18 - 24 Agosti 2017

Kwa Picha: Picha bora Afrika wiki hii 18 - 24 Agosti 2017


A picture taken on August 19, 2017 shows a woman wearing a decorative attire during the annual Chale Wote Street Art Festival at James town in Accra.

Katika mji mkuu wa Ghana, Accra, mwanamke huyu alikuwa amevalia mahsusi kuhudhuria Tamasha ya Sanaa ya Barabarani ya Chale Wote.
picture taken on August 19, 2017 shows acrobats performing during the annual Chale Wote Street Art Festival at James town in Accra.Haki miliki ya pichaAFP
Mamia ya wasanii wenyeji na kutoka nje ya nchi walihudhuria tamasha hiyo siku ya Jumamosi ambapo waliwatumbuiza waliohudhuria kwa sarakasi, vichekesho, kucheza ngoma na mengine mengi.
Women hug beside letters reading "Jollof", a popular dish in Nigeria and across West Africa, during the Jollof rice festival in Lagos, on August 20, 2017Haki miliki ya pichaAFP
Siku iyo hiyo, wanawake hawa walikuwa wana furaha tele katika Tamasha ya Jollof katika mji mkuu wa Nigeria, Lagos. Ilikuwa fursa kwa wapenzi wa Jollof, chakula kinachotayarishwa kwa kutumia mchele, ambacho ni maarufu sana Afrika Magharibi kuonja ladha mbalimbali za chakula hicho.
Supporters of Joao Lourenco (unseen), the candidate of the Popular Movement for the Liberation of Angola (MPLA), cheer during an elections campaign rally in Luanda, Angola, 19 August 2017.Haki miliki ya pichaEPA
Na siku iyo hiyo, katika mji mkuu wa Angola, Luanda, wafuasi wa chama tawala cha MPLA wanaonekana wakiwa na furaha katika mkutano wa kampeni. Mgombea wa chama hicho Joao Lourenco anatarajiwa kuwa rais baada ya Jose Eduardo dos Santos kutangaza atastaafu baada ya kuongoza wka miaka 38.
Suporters of Isaias Samakuva (not pictured), the candidate of the UNITA holding a black rooster, the symbol of the party during the closing campaign rally in Luanda, AngolaHaki miliki ya pichaEPA
Na siku iliyofuata, wafuasi wa kiongozi mkuu wa upinzani Isaias Samakuva, wanaonekana wakuwa na jogoo mweusi, nembo ya chama cha Unita chake Samakuva.
Supporters of Kenyan opposition leader Raila Odinga, from the National Super Alliance (NASA), coalition protest outside the Supreme Court in Nairobi, Kenya August 18, 2017.Haki miliki ya pichaREUTERS
Hayo yakijiri, nchini kenya wafuasi wa kiongozi mkuu wa upinzani Raila Odinga waliandamana Nairobi siku ya Ijumaa. Upinzani umewatuhumu polisi kwa kutumia nguvu kupita kiasi kukabiliana na waandamanaji walioandamana kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu wa tarehe 8 Agosti. Polisi wamekanusha tuhuma hizo.
Nigeria"s President Muhammadu Buhari is received by some state governors at at Nnamdi Azikiwe airport in Abuja, Nigeria August 19, 2017 after his return from three months medical trip in Britain. Nigeria PresidencyHaki miliki ya pichaREUTERS
Jumamosi, rais wa Nigeria Muhammadu Buhari, 74, alilakiwa na baadhi ya magavana wa majimbo ya nchi hiyo katika uwanja mkuu wa Abuja baada yake kurejea kutoka Uingereza alikokuwa anapokea matibabu kwa miezi mitatu.
Protestors march holding a placard they take part in a rally "no to barbarism" in central Ouagadougou on August 19, 2017, after a recent attack in the capital of Burkina Faso in which 18 people were killed. Gunmen killed nine locals and nine foreigners as they dined on the terrace of a Turkish restaurant in Ouagadougou late August 13.Haki miliki ya pichaAFP
Nchini Burkina Faso, katika mji mkuu wa Ouagadougou, mwandamanaji anabeba bango lenye ujumbe 'Hatutaki unyama' wakati wa maandamano Jumamosi kulalamika kuuawa kwa watu 18 katika shambulio la kijihadi katika mgahawa mmoja maarufu wa Kituruki.
In this photograph taken on August 15, 2017, children play in the waters of the River Chari in the Chadian capital of N"Djamena, close to the border with Cameroon.Haki miliki ya pichaAFP
Na katika picha hii iliyotolewa Ijumaa, watoto wanaonekana wakicheza katika Mto Chari katika mji mkuu wa Chad, N'Djamena.
Egyptian parents teach newborns how to swim in a first of its kind school in Cairo, Egypt, August 15, 2017. Picture taken August 15, 2017. REUTERS/Amr Abdallah DalshHaki miliki ya pichaREUTERS
Siku hiyo pia, wazazi hawa nchini Misri walikuwa wanawafunza watoto wao kuogelewa mjini Cairo.
Picha kwa hisani ya AFP, EPA, Getty Images na Reuters

About Author Mohamed Abu 'l-Gharaniq

when an unknown printer took a galley of type and scrambled it to make a type specimen book. It has survived not only five centuries.

No comments:

Post a Comment

Start typing and press Enter to search