Trump: Nataka kuanza kuendesha nchi kwa umakini

 

Trump: Nataka kuanza kuendesha nchi kwa umakini

  • Saa 4 zilizopita
Tuhuma ya Urusi kuingilia uchaguzi wa Marekani imegonga vichwa vya habari duniani kwa muda sasa
Image captionTuhuma ya Urusi kuingilia uchaguzi wa Marekani imegonga vichwa vya habari duniani kwa muda sasa
Rais wa Marekani Donald Trump amesema anataka kuanza kuendesha nchi baada ya utawala wake kugubikwa na utata wa tuhuma za timu yake ya kampeni kushirikiana na Urusi.
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Washington, akiwa pamoja na Rais wa Colombia ambae yuko ziarani nchini Marekani, amesema anaheshimu uteuzi wa mchunguzi maalumu, lakini akarudia kusema kuwa sakata hilo linaigawa nchi:
Rais Trump pia amekana kujaribu kuishawishi FBI katika uchunguzi wake kwa kumfuta kazi mkurugenzi wake James Comey.
Amemwelezea Comey kuwa hakuwa chaguo la watu.   Nifollow facebook kama Mapile Malcellos Jerome

About Author Mohamed Abu 'l-Gharaniq

when an unknown printer took a galley of type and scrambled it to make a type specimen book. It has survived not only five centuries.

No comments:

Post a Comment

Start typing and press Enter to search