[TRENDING][10]

CENTER OF ICT
ENTERTAINMENT
GOSSIP
NEWZ
SPORTS
VIDEOS

MWANZA: Watu 17 wameokolewa baada ya boti ya MV Julius kuzama

MWANZA: Watu 17 wameokolewa baada ya boti ya MV Julius kuzama 

No automatic alt text available.
MWANZA: Watu 17 wameokolewa baada ya boti ya MV Julius kuzama katika ziwa Victoria. Jeshi la Polisi wanafuatilia kubaini kama kuna waliosahaulika majini
-
Meli hiyo inayofanya shughuli zake za usafirishaji kati ya Mwanza na kisiwa cha Gozba Wilayani Muleba Mkoani Kagera, ilizama majira ya saa nne usiku ikiwa na nahodha, wabeba mizigo pamoja na mzigo wa magunia 750 ya dagaa.

About Author Mohamed Abu 'l-Gharaniq

when an unknown printer took a galley of type and scrambled it to make a type specimen book. It has survived not only five centuries.

No comments:

Post a Comment

Start typing and press Enter to search