[TRENDING][10]

CENTER OF ICT
ENTERTAINMENT
GOSSIP
NEWZ
SPORTS
VIDEOS

Ndoa za kwanza za wapenzi wa jinsia moja zimefanyika Ujerumani

Ndoa za kwanza za wapenzi wa jinsia moja zimefanyika Ujerumani

Karl Kreile (kushoto) na Bodo Mende, kutoka Berlin, wameishi pamoja kwa miaka 38

Ndoa za wapenzi wa jinsia moja zimefanyika kwa mara ya kwanza nchini Ujerumani.
Wanaume wawili mjini Berlin ambao wamekuwa pamoja kwa miaka 38 walikuwa wa kwaza kufunga ndoa.
Wapenzi wa jinsia moja nchini Ujerumani wamekuwa wakisajili uhusiano wao tangu mwaka 2001, lakini ni kuanzia tu mwisho wa mwezi Juni ndipo bunge lilipiga kura ya kuwepo usawa wa ndoa.
Kufunga ndoa kutawaruhusu wapenzi wa jinsia moja kunufaika na ulipaji kodi, kupanga watoto kama ndoa za kawaida kati ya mwanamume na mwanamke.

About Author Mohamed Abu 'l-Gharaniq

when an unknown printer took a galley of type and scrambled it to make a type specimen book. It has survived not only five centuries.

No comments:

Post a Comment

Start typing and press Enter to search