[TRENDING][10]

CENTER OF ICT
ENTERTAINMENT
GOSSIP
NEWZ
SPORTS
VIDEOS

Chelsea yailaza Bayern Munich kombe la vilabu bingwa Ulaya

Chelsea yailaza Bayern Munich kombe la vilabu bingwa Ulaya

Chelsea yailaza Bayern Munich kombe la vilabu bingwa Ulaya

Wanawake wa Chelsea walinusurika dakika za mwisho chini Ujerumani na kufanikiwa kuwatoa Bayern Munich nje ya kombe la vilabu bingwa kupitia sheria ya mabao ya ugenini.
Ikiongoza 1-0 kutoka awamu ya kwanza ya mechi ,mshambuliaji wa Uingereza Fran Kirby alifunga bao kunako dakika ya 60 na hivyobasi kuimarisha ari ya Chelsea.
Bao hilo lilikiwacha kikosi hicho cha Ujerumani kuhitaji mabao matatu lakini kikafanikiwa kupata mawili, kupitia Gemma Davison aliyejifunga na Lucie Vonkova aliyefunga akiwa amesalia na goli.
Hatahivyo Chelsea ilifanikiwa na kuingia katika orodha ya timu 16 bora.
Bayern ilikuwa inadhania imefanikiwa dakika za lala salama wakati Simone Laudehr alipofunga mkwaju wa adhabu uliopigwa na Melanie Behringer lakini bao hilo likakataliwa kwa kudaiwa kumsukuma mwenzake.

About Author Mohamed Abu 'l-Gharaniq

when an unknown printer took a galley of type and scrambled it to make a type specimen book. It has survived not only five centuries.

No comments:

Post a Comment

Start typing and press Enter to search