[TRENDING][10]

CENTER OF ICT
ENTERTAINMENT
GOSSIP
NEWZ
SPORTS
VIDEOS

Kasichana: 'Malkia' anayevuma kwa mashairi ya kisasa Kenya


Kasichana: 'Malkia' anayevuma kwa mashairi ya kisasa Kenya

http://emp.bbci.co.uk/emp/media/blank.mp3
Lugha ya Kiswahili katika siku za hivi karibuni imekuwa ikitumika katika ngazi ya juu ya kibiashara hasa nchini Kenya ambako nembo na misemo ya Kiswahili imekuwa ikitumiwa zaidi kunadi bidhaa na huduma mbali mbali kama vile- P-pesa, M-kopa, ubunifu space na .kadhalika.
Wengine nao huchanganya lugha za kiingereza na Kiswahili bora ujumbe wanaotaka umewafikia walengwa. Vijana kwa upande wao hawakuachwa nyuma - siku hizi wamekuwa wakiitumia zaidi lugha ya mchanganyo wa kiingereza na Kiswahili kupitisha ujumbe kwa hasa vjana wenzao wakitumia a utunzi unaoitwa 'Spoken word'.
Mwandishi wa BBC Jamhuri Mwavyombo amezungumza na msanii chipukizi Elizabeth Kasichana kwa jina la usaanii Queen

About Author Mohamed Abu 'l-Gharaniq

when an unknown printer took a galley of type and scrambled it to make a type specimen book. It has survived not only five centuries.

No comments:

Post a Comment

Start typing and press Enter to search